|
Namna ya kujisajili
Mwanachama anatakiwa kujaza fomu Na. 1 ya PSPF na kuambatisha vitu
vifuatavyo:
- Picha 2 za pasipoti (za rangi);
- Nakala ya barua ya ajira ya kwanza;
- Slipu ya mshahara (nakala halisi);
- Cheti cha ndoa/Hati ya kubadili jina kama yametokea mabadiliko
ya jina
(ma-).
Mfano
wa fomu ya Usajili (kuweza
kufunguwa pata programu ya bure inaitwa Acrobat
Reader hapa)
|